RASILIMALI ZA MAOMBI YA SAA 24 KILA SIKU

Elewa Maono

Maono ya mpango wa Siku 7 kwenye Ukuta ni kuanzisha angalau mtandao mmoja endelevu wa Maombi ya saa 24 kila siku   katika kila taifa ulimwenguni ambao utaombea uamsho. Dhamira ni kuona hili likikamilishwa ifikapo mwaka  2033. Kuna mataifa kutoka mabara tofauti ambayo tayari ni sehemu ya harakati hizi za maombi.

>> Rasilimali

Kama sehemu ya mpango wetu wa Siku 7 kwenye Ukuta tunatoa nyenzo za maombi  za kuwawezesha walinzi wanaotaka kushiriki katika maombi ya uamsho  ya saa 24 kila siku.

Tunayo furaha kutoa baadhi ya  nakala za vitini zilizotafsiriwa kutoka katika Rasilimali zetu za Maombi ya saa 24 kila siku katika lugha ya Kiswahili. Baadhi ya rasilimali za Kiingereza pia zimeorodheshwa kama nyenzo za ziada kwa walinzi.

 

MFULULIZO WA VIDEO ZA KUAMSHA WAOMBAJI

Sehemu ya 1: Maono na malengo ya Maombi ya saa 24 kila siku (dakika 4)

Sehemu ya 2: Kwa nini tuombe saa 24 kila siku? (dakika 6)

Sehemu ya 3: Utekelezaji wa maombi ya saa 24 kila siku 7 (dakika 5)

Sehemu ya 4: Kudumisha na kuendeleza maombi ya saa 24 kila siku (dakika 7)

 

ZANA ZA VITENDO VYA KUTEKELEZA ILI KUDUMISHA MAOMBI YA SAA 24 KILA SIKU

Malengo (JPG)

Kuanzisha maombi ya saa 24 kila siku kwenye WhatsApp/ Telegram/Signal (JPG)

Taratibu za kikundi cha maombi (JPG)

Ratiba ya kila wiki ya maombi ya saa 24 kila siku (Neno)

Kudumisha maombi ya saa 24 kila siku (JPG)

Jinsi ya kuomba kwa saa moja (JPG)

 

RASILIMALI ZAIDI KWA KIINGEREZA

Kufungua maombi (mfululizo wa video)

Muongozo wa maombi ya kila siku

Matukio ya maombi

Omba kwa saa moja (dadika 4 video)

Shuhuda

Wiki 7 za Maombi

Kila mtandao wa maombi hushiriki katika wiki saba za maombi kila mwaka. Mitandao yote huomba kulingana na mada maalum wakati wa wiki hizo.

Wito kwa Ulimwengu kwa…

MAOMBI YA UAMSHO ya saa 24 kila siku

… Miongoni mwa mataifa

Wito kwa Ulimwengu kwa…

MAOMBI YA UAMSHO ya saa 24 kila siku

… Miongoni mwa mataifa

Weka Kalenda, tengeneza ratiba na uanze kuhamasisha vikundi vyako mapema!
Kwa hivyo, sisi, walinzi, tusikae kimya na tusimpe Mungu pumziko,
mpaka uamsho uje ambao sisi sote tunatamani (Isaya 62: 6-7)!

Pin It on Pinterest